Entertainment

HARMONIZE BEGS EX-GIRLFRIEND FRIDA KAJALA TO TAKE HIM BACK

By  | 

Konde Music Worldwide CEO Harmonize hasconfirmed his breakup with his Australian girlfriend, Briana Jai. In a statement to his fans, Harmonize said they broke up because the long distance that was affecting their romantic connection. He disclosed that Briana was not ready to settle in Tanzania. “Kuhusu Briana sina Tatizo nae kabisa, she is a nice person ila hatuko pamoja reason number nilimwambia nimetengana na mtu bila kugomabana na nampenda sanana sasa sina uhakika kama nimemove on lolote linaweza kutokea maana.” 

Now, it seems Harmonize had not gotten over her ex-girlfriend, Tanzanian actress Frida Kajala. Despite their fallout in 2021, Harmonize is now begging Kajala to take him back. Taking to his Insta stories, Harmonize penned an emotional posts trying to woo Frida back, “Frida my love, Don’t gev up on me. Naandika hapa nikiamini ujumbe utakufikia kwa wakati. I’m sorry I know how I didi you wrong ila kama unaamini moyo wako hautokuja mkosea mtu yeyote basi usinisamehe,” he wrote.

He recounted that they had shared pain and the good of life and they had also set many goals that they had aimed to accomplish as a couple. “Kinachonirudisha kwako ni zile ndoto tulizo ota pamoja. Usisahau kwamba tulijadili kuhusu milima na mabonde. Bila shaka ndio haya na hilo ndilo lile bonde la mwisho ambalo tukilivuka tutakua wenye furaha na familia imara..!! Nilikuumiza na nikakuangaisha tambua huji kuanza upya…Unastahili kile kinacho ambatana na furaha yangu.” He said. “Wewe ndio unayajua maumivu. Wewe ndio unanijua mimi. Don’t worry. I got you for life. All I wanna do is jus to make you proud.” He added.

The Tanzanian singer told his fans that even famous people experience downfalls in life, and he is not an exception. “Binadam nina hisia nakosea umaarufu hauwezi futa ubinadamu. Yess huyo ndo mimi na umaarufu hauwezi nibadilisha. Hauwezi nifanya nisiwe mimi eti niumie nisionyeshe hisia zangu No! No! No! Nikiwa nafuraha naonyesha nikiumia pia naonyesha. Rudi mama kabla hawajazijua tabia zangu zingine.”

00:00
00:00
error: Content is protected !!